Monday, October 27, 2008

KARIBUNI SANA

napenda kuchukua nafasi hii tena kuwakaribisha wote wenye mada na mawazo mbalimbali kwenye blog hii mpya

Thursday, October 23, 2008

NAPENDA PIA KUWAKARIBISHA WANAOHITAJI KU HOST PICHA NA MATANGAZO YAO

AS I EXPLAIN ABOVE nafasi iko wazi kwa wote wanaohitaji ku host matangazo yao kwenye blog hii KARIBUNI SANA!!!!!!!!!!!!!!!!

HEY GUYZ!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

NATUMAINI mnaendelea vizuri na shughuli bt napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha katika blog hii mpya ili mchangie mawazo yenu mbali mbali natumaini mombi yangu yatakubaliwa kwenu KARIBUNI!!!!!!!!!!!

Wednesday, October 22, 2008

naomba mawazo yenu yote ya kijamii,siasa na michezo pia masomo sababu mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha dodoma